Marehemu Focus Maturlu enzi ya uhai wake.
 Ndugu, Jamaa na amarafiki wakijumuika pamoja katika kumsindikiza marehemu Focus Maturlu kwenye safari yake ya mwisho mjini Singinda siku ya Jumanne July 8, 2014 marehemu alizikwa katika makaburi ya masai yaliyopo Singida Mjini.
 Ndugu, jamaa na marafiki waliojumuika pamoja kwenye mazishi ya marehemu Focus Maturlu aliyezikwa siku ya Jumanne July 8, 2014 katika makaburi ya Masai yaliyopo Mjini Singida.
 Ngugu, Jamaa na marafiki wakittoa heshima za mwisho kwa marehemu Focus Maturlu aliyefariki July 5, 2014 jijini Dar es Salaam na kuzikwa Jumanne July 8, 2014 katika makaburi ya masai mjini Singida. Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

0 comments:

Post a Comment

 
Top