Picha ni Wanajeshi wa JWTZ na waandishi wakiwa sehemu ya tukio jijini Arusha

Polisi wakisaidiana na wanajeshi wa JWTZ waiwa sehemu ya tukio jijini Arusha
A victim of a bomb attack lies injured on July 8, 2014 in Arusha, nothern Tanzania-
Mmoja wa majeruhi wa bomu Arusha akiwa Hospitalini.
Mlipuko mwningine wa bomu uliotokea Lamu nchini Kenya siku ya Jumanne July 8, 2014 bado haijajulikana kama kuna uhusiano wa hiyo milipuko Kenya na Tanzania mpaka sasa hivi hakuna kikundi chochote kilichadai kuhusika na milipuko hiyo na watu wawili wanashikiliwa na polisi jijini Arusha.
Picha na AFP

0 comments:

Post a Comment

 
Top